PICHA MBALIMBALI KATIKA TUKIO LILILOTOKEA USIKU WA KUAMKIA LEO HUKO LAS VEGAS MAREKANI

Zaidi ya watu 58 wameuawa na takriban 515 kujeruhiwa kwenye ufyatuaji wa risasi wakati wa tamasha la muziki huko Las Vegas, Marekani.
   Wahudhuriaji wakikimbia.

    Polisi wakiwa nje ya Hotel ya Mandalay Bay


    Wahudhuriaji wakiwa wamejificha



   Watu wakikimbia kuokoa maisha yao


   Waliokuwa wameudhuria tamasha hilo wakikimbia kuokoa maisha yao


     Polisi wakimuweka chini ya ulinzi Dereva ambae inasemekana alikuwa amembeba mshambuliaji

                   Stephen Paddock ambae ndiye aliyefanya shambulio hilo kisha na yeye kujiua kwa kujipiga risasi.



        Eneo ambako mauaji Yametokea

                                    Takwimu

Angalia Pia Video

Popular posts from this blog

LIST OF THE OLDEST UNIVERSITY IN AFRICA

LIST YA MIJI HATARI NCHINI MAREKANI

Top 7 Questions and Answers on Leadership