HABARI
VETA NA AIRTEL YATHIBITISHA KUHUDUMIA WANAOTAKA KUJIFUNZA UFUNDI KUPITIA VSOMO

Afisa matukio wa airtel Tanzania akikabidhi simu maalumu zitakazotumika kuendesha mradi wa VSOMO kwa msajili mkuu veta kipawa(registry),Bw.Harold Mganga(kushoto),akishuhudiwa na Mratibu wa mradi na kozi fupi(Project and short course coordinator),Veta kipawa Gosbert Kakiziba(katikati)simu hzo zimetolewa kwa ajili ya mradi wa VSOMO.VSOMO ni applikesheni maalumu inayotoa mafunzo ya ufundi stadi ya Veta kwa njia ya mtandao inayodhaminiwa na Airtel Tanzania.

Afisa matukio wa airtel Tanzania akikabidhi simu maalumu zitakazotumika kuendesha mradi wa VSOMO kwa msajili mkuu veta kipawa(registry),Bw.Harold Mganga(kushoto),akishuhudiwa na Mratibu wa mradi na kozi fupi(Project and short course coordinator),Veta kipawa Gosbert Kakiziba(katikati)simu hzo zimetolewa kwa ajili ya mradi wa VSOMO.VSOMO ni applikesheni maalumu inayotoa mafunzo ya ufundi stadi ya Veta kwa njia ya mtandao inayodhaminiwa na Airtel Tanzania.