MSUVA AKOSA GOLI

Winga wa Difaa Hassan El-Jadida, Simon Msuva (kulia) akikosa bao la wazi akiwa amebaki na kipa katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Renaissance Sportive de Berkane jana Uwanja wa El Abdi mjini Jadida, Morocco timu hizo zikitoka sare ya 1-1 Simon Msuva ameendelea kufanya vizuri katika timu yake mpya aliyojiunga nayo akitokea Yanga ya Tanzania Simon Msuva akimiliki mpira uwanjani jana katika mchezo huo wa kwanza baada ya kurejea ziara ya Hispania kwenye maandalizi ya msimu mpya Simon Msiuva (wa kwanza kushoto mbele) katika kikosi cha kwanza cha Difaa Hassan El-Jadida jana

Popular posts from this blog

LIST OF THE OLDEST UNIVERSITY IN AFRICA

LIST YA MIJI HATARI NCHINI MAREKANI

Top 7 Questions and Answers on Leadership