MHESHIMIWA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA JOB NDUGAI ATEMBELEA SPIKA WA FALME ZA KIARABU

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai ametembelela Bunge la Umoja wa Falme za Kiarabu lililopo Abu Dhabi na kufanya mazungumzo na Spika wa Bunge hilo, Mhe. Dkt. Amal Al Qubaisi ambapo amewasilisha mapendekezo rasmi ya kuanzisha umoja na urafiki wa kibunge baina ya Bunge la Tanzania na Bunge la Umoja wa Falme za Kiarabu.
   

Mhe. Spika Job Ndugai akikasaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea Bunge la Umoja wa Falme za Kiarabu huku akiangaliwa na Spika wa Bunge hilo, Mh. Dkt. Amal Al Qubaisi (katikati) na Katibu wa Bunge Ndg. Ahmed Shabeeb


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Spika wa Bunge la Umoja wa Falme za Kiarabu, Mhe. Dkt. Amal Al Qubaisi baada ya kutembelea Bunge hilo na kufanya nae mazungumzo ambapo pia amewasilisha mapendekezo rasmi ya kuanzisha umoja na urafiki wa kibunge baina ya Bunge la Tanzania na Bunge la Umoja wa Falme za Kiarabu ambayo yamekubaliwa


Mhe. Spika Job Ndugai akipewa maelezo kutoka kwa Spika wa Bunge la Umoja wa Falme za Kiarabu, Mhr. Dkt. Amal Al Qubaisi wakati alipotembelea Bunge hilo .


Mhe. Spika Job Ndugai akikabidhi ujumbe wake maalum kwa Spika wa Bunge la Umoja wa Falme za Kiarabu, Mh. Dkt. Amal Al Qubaisi

Popular posts from this blog

LIST OF THE OLDEST UNIVERSITY IN AFRICA

LIST YA MIJI HATARI NCHINI MAREKANI

Top 7 Questions and Answers on Leadership